KAZI SIO KWA AJILI YA KUJIKIMU BALI NI NJIA YA KUKUA KIBINAFSI NA KITAALUMA - RIDHIWANI KIKWETE



Na. Julieth Ngarabali, PWANI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu,. Ridhiwani Kikwete ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Chalinze mkoani Pwani ameshiriki utoaji wa Tuzo za Wafanyakazi wa Kampuni ya MM Connect , wakala wa Kampuni ya Simu ya Vodacom.

 "Sherehe za namna hii ni kielelezo cha utambuzi wa utendaji na mafanikio makubwa wanayoyapata kampuni za wazawa. Nawapongeza na serikali yenu itaendelea kuwaangalia na kuwasaidia wafanyabiashara nchini." Amesema KIKWETE

 #KaziInaendelea


Club News Editor

Comments

Popular posts from this blog

BARAZA LA MADIWANI KIBAHA MJINI LAMPONGEZA MKURUGENZI WAKE KWA KAZI NZURI ANAYOIFANYA SAMBAMBA NA KUONGEZA MAPATO.

RAIS SAMIA ATANGAZA KIBAHA MJINI KUWA MANISAPAA,MBUNGE KOKA AFURAHIA ASEMA KIBAHA ITANG'AA

RC PWANI AFURAHISHWA NA UTENDAJI KAZI WA MKURUGENZI WA KIBAHA MJINI DKT.ROGERS SHEMWELEKWA