KAZI SIO KWA AJILI YA KUJIKIMU BALI NI NJIA YA KUKUA KIBINAFSI NA KITAALUMA - RIDHIWANI KIKWETE



Na. Julieth Ngarabali, PWANI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu,. Ridhiwani Kikwete ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Chalinze mkoani Pwani ameshiriki utoaji wa Tuzo za Wafanyakazi wa Kampuni ya MM Connect , wakala wa Kampuni ya Simu ya Vodacom.

 "Sherehe za namna hii ni kielelezo cha utambuzi wa utendaji na mafanikio makubwa wanayoyapata kampuni za wazawa. Nawapongeza na serikali yenu itaendelea kuwaangalia na kuwasaidia wafanyabiashara nchini." Amesema KIKWETE

 #KaziInaendelea


Club News Editor

Comments

Popular posts from this blog

MWENEZI CCM PWANI AKOLEZA MOTO USIKU WA COREFA,ASIFU MAANDALIZI YAKE

WIZARA YA AFYA YASEMA:UGONJWA WA SIKOSELI SIO WA KUROGWA, YAHAMASISHA JAMII KWENDA KUPIMA VINASABA

RAS PWANI KUANZA ZIARA MANISPAA YA KIBAHA AMSIFU DKT .ROGER'S SHEMWELEKWA KWA UKUSANYAJI MAPATO