NCHIMBI NA NAPE ‘MAZUNGUMZO MAZITO'







Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Balozi Emmanuel  Nchimbi na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Nape  Nnauye, ambaye pia ni Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, wamezama kwenye mazungumzo mazito kuhusu masuala mbalimbali, baada ya Waziri huyo kumtembelea Katibu Mkuu  huyo ofisini kwake, Makao Makuu ya CCM, jijini Dodoma, Alhamis, Februari 1, 2024.


Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape  Nnauye, alipomtembelea  Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Balozi Emmanuel  Nchimbi  ofisini kwake, Makao Makuu ya CCM, jijini Dodoma, Alhamis, Februari 1, 2024.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Balozi Emmanuel  Nchimbi na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Nape  Nnauye, ambaye pia ni Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari




News Editor - Charles Kusaga

Comments

Popular posts from this blog

MWENEZI CCM PWANI AKOLEZA MOTO USIKU WA COREFA,ASIFU MAANDALIZI YAKE

WIZARA YA AFYA YASEMA:UGONJWA WA SIKOSELI SIO WA KUROGWA, YAHAMASISHA JAMII KWENDA KUPIMA VINASABA

RAS PWANI KUANZA ZIARA MANISPAA YA KIBAHA AMSIFU DKT .ROGER'S SHEMWELEKWA KWA UKUSANYAJI MAPATO