NCHIMBI NA NAPE ‘MAZUNGUMZO MAZITO'







Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Balozi Emmanuel  Nchimbi na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Nape  Nnauye, ambaye pia ni Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, wamezama kwenye mazungumzo mazito kuhusu masuala mbalimbali, baada ya Waziri huyo kumtembelea Katibu Mkuu  huyo ofisini kwake, Makao Makuu ya CCM, jijini Dodoma, Alhamis, Februari 1, 2024.


Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape  Nnauye, alipomtembelea  Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Balozi Emmanuel  Nchimbi  ofisini kwake, Makao Makuu ya CCM, jijini Dodoma, Alhamis, Februari 1, 2024.

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Balozi Emmanuel  Nchimbi na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), Nape  Nnauye, ambaye pia ni Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari




News Editor - Charles Kusaga

Comments

Popular posts from this blog

RC PWANI AONGOZA WAKAZI PWANI KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA WAPIGA KURA

BARAZA LA MADIWANI KIBAHA MJINI LAMPONGEZA MKURUGENZI WAKE KWA KAZI NZURI ANAYOIFANYA SAMBAMBA NA KUONGEZA MAPATO.

RAIS SAMIA ATANGAZA KIBAHA MJINI KUWA MANISAPAA,MBUNGE KOKA AFURAHIA ASEMA KIBAHA ITANG'AA