SABAYA MWENYEKITI CCM ARUSHA







Thomas Loy Sabaya amechaguliwa  kuwa Mwenyekiti wa  Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha, baada ya ushindi wa kishindo wa kura 463 kati ya kura 907 za wajumbe wa uchaguzi huo

Sabaya,amechaguliwa katika uchaguzi wa CCM uliofanyika leo Jijini Arusha ambao kwa namna moja au nyingine ulikuwa uchaguzi wa aina yake 

 Wengine waliogombea nafasi hiyo  ni Dk.Daniel Pallangy



Club News Editor

Comments

Popular posts from this blog

RC PWANI AONGOZA WAKAZI PWANI KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA WAPIGA KURA

BARAZA LA MADIWANI KIBAHA MJINI LAMPONGEZA MKURUGENZI WAKE KWA KAZI NZURI ANAYOIFANYA SAMBAMBA NA KUONGEZA MAPATO.

RAIS SAMIA ATANGAZA KIBAHA MJINI KUWA MANISAPAA,MBUNGE KOKA AFURAHIA ASEMA KIBAHA ITANG'AA