SABAYA MWENYEKITI CCM ARUSHA







Thomas Loy Sabaya amechaguliwa  kuwa Mwenyekiti wa  Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha, baada ya ushindi wa kishindo wa kura 463 kati ya kura 907 za wajumbe wa uchaguzi huo

Sabaya,amechaguliwa katika uchaguzi wa CCM uliofanyika leo Jijini Arusha ambao kwa namna moja au nyingine ulikuwa uchaguzi wa aina yake 

 Wengine waliogombea nafasi hiyo  ni Dk.Daniel Pallangy



Club News Editor

Comments

Popular posts from this blog

MWENEZI CCM PWANI AKOLEZA MOTO USIKU WA COREFA,ASIFU MAANDALIZI YAKE

WIZARA YA AFYA YASEMA:UGONJWA WA SIKOSELI SIO WA KUROGWA, YAHAMASISHA JAMII KWENDA KUPIMA VINASABA

RAS PWANI KUANZA ZIARA MANISPAA YA KIBAHA AMSIFU DKT .ROGER'S SHEMWELEKWA KWA UKUSANYAJI MAPATO