MKUTANO MKUU UTPC 2023

Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania unafanya mkutano wake mkuu kwa wanachama wake 28 ambao ni klabu za waandishi wa Habari za mikoa tofauti.

Mkutano huu unaofanyika jijini Dodoma yalipo makao makuu ya Umoja huu, umetanguliwa na kikao cha tathmini kwa kila klabu na kuweza kuweka mikakati ya kurekebisha na kujenga Umoja huu ili kufika malengo iliyojiwekea.



               Pichani wajumbe wa Mkutano katika kikao cha tathmini.



Club News Editor

Comments

Popular posts from this blog

BARAZA LA MADIWANI KIBAHA MJINI LAMPONGEZA MKURUGENZI WAKE KWA KAZI NZURI ANAYOIFANYA SAMBAMBA NA KUONGEZA MAPATO.

RC PWANI AFURAHISHWA NA UTENDAJI KAZI WA MKURUGENZI WA KIBAHA MJINI DKT.ROGERS SHEMWELEKWA

TANROADS YATOA UFAFANUZI KUTOZWA FAINI GARI LA SIMBA LOGISTICS KITUO CHA MIZANI YA VIGWAZA MKOA WA PWANI