WAJUMBE PJT - MMMAM Mkoa wa Pwani

 


Wajumbe wa kamati ya maandalizi ya Programu Jumuishi ya Taifa ya malezi ,makuzi na maendeleo ya awali ya Mtoto (PJT-MMMAM)  Mkoani Pwani wakiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa Mkoa huo , program  hiyo inayolenga kutoa huduma za afya, lishe, malezi yenye mwitikio, ujifunzaji wa awali na Ulinzi na usalama kwa watoto wenye umri wa miaka sifuri hadi nane ili wakue kwa utimilifu.    . Picha Julieth Ngarabali

Comments

Popular posts from this blog

BARAZA LA MADIWANI KIBAHA MJINI LAMPONGEZA MKURUGENZI WAKE KWA KAZI NZURI ANAYOIFANYA SAMBAMBA NA KUONGEZA MAPATO.

RC PWANI AFURAHISHWA NA UTENDAJI KAZI WA MKURUGENZI WA KIBAHA MJINI DKT.ROGERS SHEMWELEKWA

TANROADS YATOA UFAFANUZI KUTOZWA FAINI GARI LA SIMBA LOGISTICS KITUO CHA MIZANI YA VIGWAZA MKOA WA PWANI