WAJUMBE PJT - MMMAM Mkoa wa Pwani

 


Wajumbe wa kamati ya maandalizi ya Programu Jumuishi ya Taifa ya malezi ,makuzi na maendeleo ya awali ya Mtoto (PJT-MMMAM)  Mkoani Pwani wakiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa Mkoa huo , program  hiyo inayolenga kutoa huduma za afya, lishe, malezi yenye mwitikio, ujifunzaji wa awali na Ulinzi na usalama kwa watoto wenye umri wa miaka sifuri hadi nane ili wakue kwa utimilifu.    . Picha Julieth Ngarabali

Comments

Popular posts from this blog

MWENEZI CCM PWANI AKOLEZA MOTO USIKU WA COREFA,ASIFU MAANDALIZI YAKE

WIZARA YA AFYA YASEMA:UGONJWA WA SIKOSELI SIO WA KUROGWA, YAHAMASISHA JAMII KWENDA KUPIMA VINASABA

RAS PWANI KUANZA ZIARA MANISPAA YA KIBAHA AMSIFU DKT .ROGER'S SHEMWELEKWA KWA UKUSANYAJI MAPATO