UZINDUZI PJT - MMMAM Mkoa wa Pwani

 


Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakar Kunenge  (kulia) akikata utepe kuzindua Programu Jumuishi ya Taifa ya malezi ,makuzi na maendeleo ya awali ya Mtoto (PJT-MMMAM)  Mkoani humo inayolenga kutoa huduma za afya, lishe, malezi yenye mwitikio, ujifunzaji wa awali na Ulinzi na usalama kwa watoto wenye umri wa miaka sefuri hadi nane ili wakue kwa utimilifu.    . Picha Julieth Ngarabali

Comments

Popular posts from this blog

RC PWANI AONGOZA WAKAZI PWANI KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA WAPIGA KURA

BARAZA LA MADIWANI KIBAHA MJINI LAMPONGEZA MKURUGENZI WAKE KWA KAZI NZURI ANAYOIFANYA SAMBAMBA NA KUONGEZA MAPATO.

RAIS SAMIA ATANGAZA KIBAHA MJINI KUWA MANISAPAA,MBUNGE KOKA AFURAHIA ASEMA KIBAHA ITANG'AA